Mtoto: kama baba, mama, shangazi na mjomba wote mlikuwa mnakuwa wa kwanza darasani, nani alikuwa wa mwisho?

August 31, 2013 § Leave a comment

Asubuhi Mama anamwambia mtoto:

Mama: mimi nilikuwa wa kwanza darasani
Mtoto: kweli mama?
Jioni baba anaongea na mtoto:
Baba: mimi nilikuwa wa kwanza darasani.
Mtoto: hivi baba nani alikuwa wa mwisho?
Baba: kwa nini unauliza?
Mtoto: mama kaniambia alikuwa wa kwanza, wewe, shangazi na mjomba wote mnasema mlikuwa wa kwanza darasani, wa mwisho alikuwa nani?

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

What’s this?

You are currently reading Mtoto: kama baba, mama, shangazi na mjomba wote mlikuwa mnakuwa wa kwanza darasani, nani alikuwa wa mwisho? at kadulyu.

meta

%d bloggers like this: