Mtoto: kama baba, mama, shangazi na mjomba wote mlikuwa mnakuwa wa kwanza darasani, nani alikuwa wa mwisho?

August 31, 2013 § Leave a comment

Asubuhi Mama anamwambia mtoto:

Mama: mimi nilikuwa wa kwanza darasani
Mtoto: kweli mama?
Jioni baba anaongea na mtoto:
Baba: mimi nilikuwa wa kwanza darasani.
Mtoto: hivi baba nani alikuwa wa mwisho?
Baba: kwa nini unauliza?
Mtoto: mama kaniambia alikuwa wa kwanza, wewe, shangazi na mjomba wote mnasema mlikuwa wa kwanza darasani, wa mwisho alikuwa nani?

What is the difference between the successful ones and those who are not?

August 26, 2013 § 1 Comment

What is the difference between the successful ones and those who are not?.

What is the difference between the successful ones and those who are not?

August 26, 2013 § 1 Comment

The difference between those who are successful and those who are not is that those who are successful have failed many times but kept trying while the unsuccessful ones failed less and stopped trying.

Tuuangalie muungano wa Tanganyika na Zanzibar Kimahesabu

August 15, 2013 § Leave a comment

Tuna njia nne za kuutegemeza muungano wetu hebu tuzitafakari na kuzichambua ipi ingetufaa. Bwana Asenga Abubakar aliandika hivi (kwenye facebook yake):

1+1= Tanganyika+ zanzibar =3

Mbona mwalimu wangu wa hesabu Nyerere alinifundisha kuwa 1+1=2

Inamaana akuwa sawa?

Nisaidieni 1+1 ni ngapi?

CCM itampakata mtu 2015 na ata acha siasa moja kwa moja

Nikamjibu ifuatavyo:

Asenga Abubakar Kwa hesabu zako hizo hili somo litaendelea kuwa mgogoro nchini. Nani alikwambia kwamba thamani ya Zanzibar ni moja na thamani ya Tanganyika ni moja? Na hiyo 2 inanakuwaje inageuka kuwa serikali kama ulizojumlisha ni nchi? Ulimwengu gani wa hesabu unajumlisha vitu vya aina moja halafu jumla inakuwa vitu vingine i.e unajumlisha mbuzi halafu jibu linakuja nge? Japo idadi itakuwa 2 lakini hao si mbuzi tena. Muungano wa nchi uanaathiri baadhi ya variables lakini kijiografia hizi nchi zinaendelea kuwepo.

Kulazimisha model ya kimahesabu kuelezea muungano na kwa nini tuna serikali mbili badala ya 1 au 3 si sahihi. Hili si jambo la kimahesabu ni jambo la kisiasa. Kama nchi inawakilishwa na serikali basi mlinganyo ulioutoa si sahihi pia. Kama 1 ni serikali ya Zanzibar na moja nyingine ni serikali ya Tanganyika, kulia mwa mlinganyo wako unatakiwa upate selikali ya Zanzibar na serikali ya Tanganyika, lakini zilizopunguzwa madaraka yatakoyopewa serikali ya Muungano, ndiyo mlinganyo wako utakuwa sawa.

Ili muungano uheshimu sheria ya kujumlisha inabidi uwe hivi:

Serikali ya Tanganyika + serikali ya Zanzibar = serikali ya Tanganyika iliyopunguzwa madaraka + serikali ya Zanzibar iliyopunguzwa madaraka + serikali ya Jamhuri ya Muungano inayochukua madaraka yaliyopunguzwa kwenye serikali ya Tanganyika na Zanzibar. Kimahesabu unaweza kupunguza madaraka ya nchi zote mbili ukayaweka yote kwenye muungano. Kupunguza madaraka ya nchi moja kuwa sifuri halafu nyingine wanabakisha madaraka yao fulani ni muundo tepetevu. Mfumo huu unaifanya nchi moja kujiona ndio imeungana zaidi kuliko ile nyingine. Na ile nyingine itaendelea kutamani kuwa autonomous kwa sababu ya utamu wa madaraka inoyoyaonja kila siku. Kwa mfumo huu Tanganyika ndio imeungana zaidi kuliko Zanzibar. In logic we say fallacy!

Kisiasa je muungano tunautaka? Kama tunautaka wa namna gani?

Hebu bofya hapa chini uangalie hesabu za muungano wetu:

Muundo wa Muungano Kimahesabu

Unlocking Africa’s growth potential – Aligning decision-making to implementation and delivery, Trevor A Manuel

August 12, 2013 § Leave a comment

An important read to all, leaders and those who aspire to take Africa to the next level. Please click below for the full version of the speech by Trevor A. Manuel -Minister for the National Planning Commission
(Republic of South Africa) given on 2 August 2013 at the The 21st Joseph Mubiru Memorial Lecture.

Hon Manuel’s Presentation-1

Where Am I?

You are currently viewing the archives for August, 2013 at kadulyu.